Lyrics

Tamu sana, tamu sana
Sidhani moyo wangu ushaskia hivi
We ndo umenifanya niskie ka nachizi
Baby nauliza tutapatana lini?
Naeza vaa dera naeza kuvalia mini
Naeza tingiza mpaka ukose kuamini
Naeza zungusha mpaka udhani ni majini
Tofauti ya kujichocha na kujiamini
Yawa jakom
Donge ing'eyo in imia mor
Wuod Ongoro roho safi tena handsome
Dichuo Ratego an amiyo first class
Mayoo-mayoo
Ni tamu sana, ni tamu sana
Ama kuna kitu unanifanya
Ju ni tamu sana, ni tamu sana
Naona kuna kitu unanifanya
Endelea, wekelea
Endelea, wekelea
Endelea, ekelea
Ju ni tamu sana, ni tamu sana
Mayo-mayo-mayo
Ah ukipinda mgongo
Ah bebo-bebo-bebo
Herani okabiloko
Aah lando-lando-lando
Nyandwat nyaka milambo
Aah singo-singo-singo
Inie mama watoto
Malovi to mamitu pok abilo ga
Haters wavimbe majipu
Sitobanduka
Design nalishwa mavitu ki kamasutra
Wapi natoa hii nguvu ya kukuacha
Hiki kitendawili jawabu nishapata
Jiko kamili mapenzi yamenoga
Eti baridi darasa nishavuka
Hata Nviiri alia baridi mbaya
Ni tamu sana, ni tamu sana
Ama kuna kitu unanifanya
Ju ni tamu sana, ni tamu sana
Naona kuna kitu unanifanya
Endelea, wekelea
Endelea, wekelea
Endelea, ekelea
Ju ni tamu sana, ni tamu sana
Ni tamu sana, ni tamu sana
Ama kuna kitu unanifanya
Ju ni tamu sana, ni tamu sana
Naona kuna kitu unanifanya
Endelea, wekelea
Endelea, wekelea
Endelea, ekelea
Ju ni tamu sana, ni tamu sana
Written by: Maxine Stephanie Anyango
instagramSharePathic_arrow_out