Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Jua Cali
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Paul Nunda
Composer
Lyrics
[Verse 1]
Hapa tunacheza na maneno
Ngeli ni ya genge
[Verse 2]
Naandika hii verse, ka niko na njaa
Naenda kupika bila makaa
Na waita na mnakataa
Mnasema kanisa ni ya mavijanaa
Kushiba ni baada ya salaa
[Verse 3]
Kuiba nayo sikuhizi ni balaa
Utaageuzwa ki nyama makusagaa
Pika hiivi tunamanga
Sukuma, chumvi, na ka ugangaa
Chuma ngumi, teke kadhaa
Boxer vumbhi na ma makambaa
Toka nyuki asali chang'aa
Koma kumi utashangaa
Ama stima zitazimaa
Twende kwa kina Farida
Ji'eke henna kwa mafinga
[Chorus]
Hapa tunacheza na maneno
Ngeli ni ya genge
Hapa tunacheza na maneno
Ngeli ni ya genge
[Verse 4]
Nataka ukae poa ka kina
Fatia, Halima na Eva
Watoto wazuri
Ndoto nzuri huisha
[Verse 5]
Ka ume zote kabisa
Ukasanya moto ukampatia
Bahati mbaya ukashikwa
Mabati waya ukapigwa
[Verse 6]
Mashati za wanga zikaishia
Chukua zengine uanze kupima
Vua pengine ni ya Peter
Beste yangu mtu wa shida
[Verse 7]
Hii mete ni yangu we tuliza
Onadoea ki fisi na hauja alikwa
Unapokea dishi na haijapikiwa
Chakula ni mbichi na haija ivaa
Tuma sista Eastleigh ma njivaa
Lakini chunga vile atajivaa
[Chorus]
Hapa tunacheza na maneno
Ngeli ni ya genge
Hapa tunacheza na maneno
Ngeli ni ya genge
[Verse 8]
Ma mini chuja na adida
Ma G-string shuka na ma
Mambuyu kwao ni kushangaa
Dudu zao zina amkaa
[Verse 9]
Njugu kibao wanatafuna
Mamatha huku wanashtuka
Hanya huyu utajuta
Kama sumu inaua
[Verse 10]
Maziwa iko tutakunywa
Kama njumu zinatupa
Kabisa tutakataa kuvua
Matope kila mahali panguza
Pole pole ngazi tunashuka
Pole ka kazi yasumbua
Mwisho ganji itaingia
Vitisho wangapi wataskia
[Bridge]
Genge damu (Ehh)
California
Au sio
[Chorus]
Hapa tunacheza na maneno
Ngeli ni ya genge
Hapa tunacheza na maneno
Ngeli ni ya genge
[Chorus]
Hapa tunacheza na maneno
Ngeli ni ya genge
Hapa tunacheza na maneno
Ngeli ni ya genge
Written by: Paul Nunda