Lyrics

[Refrain]
Priceles vile yuko, priceless
I wanna bask in her brightness, anaglow
Mnamteka na doh, mi namteka na roho
Niceness, tunafanana she's my likeness
Mawazo ananipunguzia akona lightness, ooh
Siezi keep calm, ashanionjesha utam
[Verse 1]
So sinyamazi, schezi chini ya maji
Leo naiweka wazi, mi ni mraisi wako
You are my maji, kwenye kiangazi
Mbuzi be my nazi, mi ni mraisi wako
[Chorus]
Wanangoja mtandaoni waone tumewachana
Watangoja sana, watangoja sana
Wanangoja mlangoni vita tumegombana
Watangoja sana, watangoja sana
[Verse 2]
Ah, unanidundisha moyo du du
Did you know, unanitepesha dudu
Gangsta bondia kwako najiwachilia
Hapo zamani ndio ulifanya niende Kookoo
[Verse 3]
If you ever need saving, naeza jigeuza benki
Niko ready kubleed iwe damu ama senti
Ka unarun with me, hio ni ratified dating
Kila sekunde na we ni prime time, saa inaweka tick tick
[Verse 4]
Usichafue moyo chafua shati na lipstick, mwah
Wakisha moto na matchstick, waah
Penzi ni changa, kortini kwetu kitanda
We uskishuka mi napanda
[Verse 5]
Kifuli tutabuy tufike Ljubavi, Serbia
Nimekupata ubavu wangu umenikamilisha
Wambea usiwape nafasi ya kukukasirisha
Kwao kutuongelelea ndio kujilisha
[Chorus]
Wanangoja mtandaoni waone tumewachana
Watangoja sana, watangoja sana
Wanangoja mlangoni vita tumegombana
Watangoja sana, watangoja sana
[Bridge]
Unanidundisha moyo du du
Did you know, unanitepesha dudu
Gangsta bondia kwako najiwachilia
Hapo zamani ndio ulifanya niende Kookoo
Mhhh,
[Refrain]
Priceles vile yuko, priceless
I wanna bask in her brightness, anaglow
Mnamteka na doh, mi namteka na roho
[Chorus]
Wanangoja mtandaoni waone tumewachana
Watangoja sana, watangoja sana
Wanangoja mlangoni vita tumegombana
Watangoja sana, watangoja sana
Written by: Dennis Njoroge Wambui, Philip Munyao Mutuku
instagramSharePathic_arrow_out