Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Centano
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Innocent Lucas
Songwriter
Lyrics
[Chorus]
Niko mawili kwenye kichwa, mapenzi au pesa
Na siwezi kupoteza vyote uh la-la
Hunipi amani hunipi pressure, acha nitafte pesa
Na siwezi kupoteza vyote, uuh la-la
Uuh la-la, uuh la-la
Uuh la-la, uuh la-la
[Verse 1]
Hello, hello, hello, I know you love me
Hello, hello, hello, I know you need me
Ila tatizo drama na kujiona unapendwa sana
Unajiona we wa maana, unasumbua sana
[Verse 2]
Hivi kitu gani we huapti
Labda sikupi kwa wakati
Cheza na mwili wangu, uscheze na akili
Ucheze na hisia zangu, uscheze na mimi maana
[PreChorus]
Taji wa maskini, nguvu zangu mwenyewe
Nguvu zangu mwenyewe
Sina baba sina mjomba tajirii
Nguvu zangu mwenyewe, mwenyewee
[Chorus]
Niko mawili kwenye kichwa, mapenzi au pesa
Na siwezi kupoteza vyote uh la-la
Hunipi amani hunipi pressure, acha nitafte pesa
Na siwezi kupoteza vyote, uuh la-la
Uuh la-la, uuh la-la
Uuh la-la, uuh la-la
[Verse 3]
Pesa nayo nini nilikosea, maana inanikimbia
Usiku mchana haitaki kuitikia
Vimeumana, taabu sana
Vyuma vimekaza taji ya kima sanaa
Namuomba usiku mchana Mungu anipe
Na jasho la mnyonge Mungu anifutee
Natumia akiloi sana nguvu nto yoote
Si unaona Babaa, bless me Babaa
[PreChorus]
Taji wa masikini, nguvu zangu mwenyewe
Nguvu zangu mwenyewe
Sina baba sina mjomba tajirii
Nguvu zangu mwenyewe, mwenyewee
[Chorus]
Niko mawili kwenye kichwa, mapenzi au pesa
Na siwezi kupoteza vyote uh la-la
Hunipi amani hunipi pressure, acha nitafte pesa
Na siwezi kupoteza vyote, uuh la-la
Uuh la-la, uuh la-la
Uuh la-la, uuh la-la
Written by: Innocent Lucas