Music Video

Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Mercy Masika
Mercy Masika
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Mercy Masika
Mercy Masika
Songwriter

Lyrics

[Chorus]
Baba nichukue, nifunze
Nataka kusoma
Kwa shule yako, kwa shule yako
Nichukue, nifunze
Nataka kusoma
Kwa shule yako, kwa shule yako
[Verse 1]
Nikiwa nawe kama mwalimu
Ninajua nitahitimu
Nitashinda adui, akileta majaribu
Unitayarishe, unibadilishe
Mtihani nipite, mwito nitimize
[PreChorus]
Nijue kuandika
Niandike maono yangu
Nijue kuhesabu
Nihesabu baraka zako
Nijue kuongea nihubiri neno lako ooh
Kwa watu wako
[Chorus]
Baba nichukue, nifunze
Nataka kusoma
Kwa shule yako, kwa shule yako
Nichukue, nifunze
Nataka kusoma
Kwa shule yako, kwa shule yako
[Verse 2]
Shule yako hatudanganyi
Ni ukweli na uwazi
Wanafunzi hawagomi
Mwalimu atujali
Unifunze nidhamu
Wote niwaheshimu
Yesu ni mwalimu, Yesu ni mwalimu
[PreChorus]
Nijue kuandika
Niandike maono yangu
Nijue kuhesabu
Nihesabu baraka zako
Nijue kuongea nihubiri neno lako ooh
Kwa watu wako
[Chorus]
Baba nichukue, nifunze
Nataka kusoma
Kwa shule yako, kwa shule yako
Nichukue, nifunze
Nataka kusoma
Kwa shule yako, kwa shule yako
[Chorus]
Baba nichukue, nifunze
Nataka kusoma
Kwa shule yako, kwa shule yako
Nichukue, nifunze
Nataka kusoma
Kwa shule yako, kwa shule yako
Written by: Mercy Masika
instagramSharePathic_arrow_out