Lyrics
[Intro]
Ooh, ooh baby, ooh baby
[Verse 1]
Naamini kila binadamu ana ubaya na uzuri wake
Baby, mmh
Naamini kila binadamu ana madhaifu yake
Ooh baby, mmh
Nami yangu nayajua na nakabiliana nayo
Ila mwenzio sitojua kwa kosa la kuumiza moyo wako, ooh nisamehe
[PreChorus]
Tena najuta, najuta eeh
Aah, yalonikuta
Kazi ya ibilisi mama
Tena usiku silali
Labda nilewe chakari
Ama nilale mama na picha yako kifuani
Ndo nijisuku nami je unaniwaza
Mmh baby
Ama tamaa kwangu ulishakata
[Chorus]
Aje anione, aje akanione
Aje anione, aje anione
Aje akanione, aje anione
Aje anione, aje anione
Aje anione, aje anione
Aje anione, aje anione
Aje anione ne, ne, ne, ne, ne, ne
Aje anione ne, ne, ne, ne, ne, ne
Aje anione
[Verse 2]
Wajua ninakukosa sana, hasa giza linapotanda
Mi mahututi, mi mahututi
Wajua nmekuzoea mama, nakuhitaji leo zaidi ya jana
Na endapo utachelewa mama mi maiti, eeh
[PreChorus]
Tena najuta, tena utaniwai mamma
Yalonikuta, kazi ya ibilisi mama
Tena usiku silali
Labda nilewe chakari
Ama nilale (Mama) na picha yako kifuani
Ndo nijisuku nami, je unaniwaza
Mmh, baby
Ama tamaa kwangu ulishakata
[Chorus]
Aje anione, aje akanione
Aje anione, aje anione
Aje anione, aje anione
Aje anione, aje anione
Aje anione, aje anione
Aje anione, aje anione
Aje anione ne, ne, ne, ne, ne, ne
Aje anione ne, ne, ne, ne, ne, ne
Aje anione
Written by: Otile Brown