Lyrics

[Chorus]
Cheki fala amekam na amezubaa
Na anacheki ati subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
[Chorus]
Cheki fala amekam na amezubaa
Na anacheki ati subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
[Verse 1]
Alikam na ki nini (Ki tururdudu)
Kam na ki nini, kibuguduguboom
Kam na kinini, ki shsh, ki mhmh, ki haha
Alikam na ki nini, ki tururdudu
Kam na ki nini, kibuguduguboom
Kam na kinini, ki shsh, ki mhmh, ki haha
[Verse 2]
Na imejaa
Kibuguduguboom my guy hi si toy
Ziwa hurush na mi najienjoy
Tuliwabumbrush, H Kiamaiko
Buru clean na mi si boys
[Verse 3]
Sina jongo sina form sina cheda
Bila mbesha still ma Chargie walichuna
Ngeus una matress kwako sema form
Munga mjinga niko zone
Past curfew magizan niko busy
Shmady ting alikujia ma gizgiz
Am sorry ilidim, am sorry nimedim
Am sorry ilidim am sorry imedim
Am sorry ah, ah aiih
[Verse 4]
Subaru inakam na mambaru wame chrome
Zaidi ya mzinga na zile vitu wrong
Munga Sirbwoy hepa chuom na imepong
Digitali jaba kali shikisha na dosh
[Verse 5]
Maisha posh na maombre wa pale canaan coach
Taxin na ma ghegho za ugoro zinawaka shinda torch za ma gwoch
Idhaa ni mbaya lola mbota lola watch ye ye
Kwa hii darasa mi ndio mi ndio coach
Zimewaka zimeliet zimemuoch
Mbare ya gatheshe hatuna kasheshe
Maybe tudhiokore na tukufanyage patient
Boom boom ye ye, ye ye ye Boom
[Chorus]
Cheki fala amekam na amezubaa
Na anacheki ati subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Cheki fala amekam na amezubaa
Na anacheki ati subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
[Chorus]
Alikam na ki nini (Ki tururdudu)
Kam na ki nini, kibuguduguboom
Kam na kinini, ki shsh, ki mhmh, ki haha
Alikam na ki nini, ki tururdudu
Kam na ki nini, kibuguduguboom
Kam na kinini, ki shsh, ki mhmh, ki haha
[Verse 6]
Zi umshika za ki white boy
Akiwa maduya riomo ana cock toy
Hicho ki dyura isikufanye uingie kwa soil
Bro na ki durag udungwa ana rock mboi
[Verse 7]
Boy
Hatuitishi ruhusa kuguza
Tuaishi nchi rais utundura
Na ukisnitch juu ya clique unasundwa
Shokde Lee tunakam kuchunguza
Umbwa
[Verse 8]
Cock the ting ka umekam kutunyuria
Finger imekwama kwa trigger unabuya
Usicome ukiwa steam ka hautaki kupanguzwa
Ni genje njege walikam kuwatuma
[Verse 9]
Ah
Alikam na Kidududum-dum
Kama hauamini unaeza Google um
Sa izo jaba ni maini na kindukulu
Walifanya zote zishuke chini pungulu, pu
[Verse 10]
Ati Scar de amechange
Ati scar de amechange
Kwani una expect nini fadhe akiku bless
Ni ma pu, pu bitch **** muanze kuvaa vest
[Verse 11]
Cheki dosh-dosh hakuna haraka manze tuwapeleke mos-mos
Chunga usipate baraka waseme ni washwash, ki huh-huh
Kilifanya utoe kila kitu kwa mbosho
Isch-isch, kinawaka popote uko roto
Ma twatwa msupa wako akipewa kiboko
[Chorus]
Cheki fala amekam na amezubaa
Na anacheki ati subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Cheki fala amekam na amezubaa
Na anacheki ati subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
Subaru ya mambaru imekam na imejaa
[Refrain]
Alikam na ki nini (Ki tururdudu)
Kam na ki nini, kibuguduguboom
Kam na kinini, ki shsh, ki mhmh, ki haha
Alikam na ki nini, ki tururdudu
Kam na ki nini, kibuguduguboom
Kam na kinini, ki shsh, ki mhmh, ki haha
Na imejaa
Written by: Afrika Beatz, Alex Kimani, Beat Duka, David Munga Ramadhan
instagramSharePathic_arrow_out