Music Video

SEANMMG-NAKUDAI(feat.YBW SMITH)OFFICIAL MUSIC VIDEO
Watch SEANMMG-NAKUDAI(feat.YBW SMITH)OFFICIAL MUSIC VIDEO on YouTube

Featured In

Lyrics

[Chorus]
Niko na dem mwenye ako na dem pia
Masaa flani ikifika nawachangamkia
After scene kabaridi siezi nikatulia
Waiter leta mzinga mbili na upitishe beer
[Chorus]
Niko na dem mwenye ako na dem pia
Masaa flani ikifika nawachangamkia
After scene kabaridi siezi nikatulia
Waiter leta mzinga mbili na
[Verse 1]
Selecta ni Rambo na MC ni Zediambo
Huwanga mbaya sana akiweka Go Pato
Miondoko, hii mchezo nilianza kitambo
Zile enzi kali akishikilia milango
Nimekuja na moto design ya volcano
Dandia kimat mi nashukia commercial
Nipate Gode safi tukaseti na machaji
Foreign, Malawi wikendi ni kwa nani?
[Verse 2]
Tumehire gari weka Wakadinali
Cheki kwanza ebu search "ulikuwa wapi"
"Umoroto" then umalize na Octo
Alafu nimekumbuka usisahau ya Okwonko
[Verse 3]
Hii ni big tune kuwabeba ka Raburu
Picha moja safi utadhani si ni madungu
Joe Mfalme mix zake safi safi
Washa moja fiti maze niskie fiti
[Chorus]
Niko na dem mwenye ako na dem pia
Masaa flani ikifika nawachangamkia
After scene kabaridi siezi nikatulia
Waiter leta mzinga mbili na upitishe beer
[Chorus]
Niko na dem mwenye ako na dem pia
Masaa flani ikifika nawachangamkia
After scene kabaridi siezi nikatulia
Waiter leta mzinga mbili na
[Verse 4]
Dem ni kuhanya akipata unagwarwa
Sunday tuko church kwa father mi ni mbaba
Dem ni msupa lakini sura ya mbang'a
Kwanza amenyanya macho zake dimanga
[Verse 5]
Mali ni safi kuliko matha wa Ngara
Labda mpate gode safi ita fire mummah
Niko high siku ya pili ndo inafuata
Chai moto inatrigger gwai ulivuta jana
[Chorus]
Ah niko na dem mwenye ako na dem pia
Masaa flani ikifika nawachangamkia
After scene kabaridi siezi nikatulia
Waiter leta mzinga mbili na upitishe beer
Written by: A
instagramSharePathic_arrow_out