Top Songs By Meja Kunta
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Meja Kunta
Performer
D Voice
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Khalid Mwalami Mtumbuka
Songwriter
Lyrics
[Verse 1]
We jamani mke wangu anadanga lake
Mwenzenu ananikosha
We kila siku ikifika morning
Lazima atume pesa
[Verse 2]
Mama watoto anadanga
Na mke mwenzenu anikosha wewe, onaa
We kila siku ikifika morning
Lazima atume pesa, onaa
[Verse 3]
Lakini danga wa juzi amenikera
Amekuja hajaacha mizigo wala hela
Alafu sidangi dangi na masela
Danga na mapedeshe tupate hela
We ukipata bwana wa kizungu
Nenda naye kwa Mpalange
[Chorus]
Mi mumeo nimekuruhusu kadange
Mwaka huu wife lazima tujenge
Wasio tupenda sa waambie wajipange
[Chorus]
Naheshimu madanga ya mke wangu
Maana ndo yanayonipa faida
Naheshimu madanga ya mke wangu
Maana ndio yanayonifanya nashiba
[Chorus]
Naheshimu madanga ya mke wangu mimi
Ndo yanayofanya navimba
Eeh madanga ya mke wangu
Maana ndio yanayonifanya naringa
[Verse 4]
Madanga ya mke wangu
Yananipa faida
Oyaa oyaa oyaa oyaa oyaa oyaa oyaaa
Aah aah
[Verse 5]
Siku hizi mzinga wa ving'asti ndio umepea
Mjini kila demu anapenda hela
Halafu usiukadanga na maboya
Kesho usije kurudi bila hela
[Verse 6]
Sa baby ngoja nikuambie
Nenda kadange upate kigari tuwavimbie
Ooh baby ngoja nikuambie
Nenda kadange upate kigari tuwavimbie
[Verse 7]
Halafu home usirudi mapema
Usicheze na kazi ma mtu utachina
Kwani madanga ndugu hayajatema
Mi nimemiss kula chips na nyama
[PreChorus]
Kama ukipata bwana wa kizungu
Nenda naye kwa Mpalange
Mi mumeo nimekuruhusu kadange
Mwaka huu wife lazima tujenge
Waso tupenda sa waambie wajipange
[Chorus]
Naheshimu madanga ya mke wangu
Maana ndo yanayonipa faida
Naheshimu madanga ya mke wangu
Maana ndio yanayonifanya nashiba
[Chorus]
Naheshimu madanga ya mke wangu mimi
Ndo yanayonipa faida
Naheshimu madanga ya mke wangu
Maana ndio yanayonifanya nashiba
Aaah, aah
[Verse 8]
Kwanza nikuulize hivi unamjua Yesu?
Yubu Khan nikuulize unamjua Yesu we?
Shabalala nikuulize unamjua Yesu we?
Boss Peter nikuulize unamjua Yesu?
[Verse 9]
So kwa jina la Baba hilo
Na la mwana hilo, na la Roho mtakatifu Amina
So kwa jina la Baba hilo
Na la mwana hilo, na la Roho mtakatifu Amina
[Verse 10]
Yule dada anayecheza kati mnamjua?
Ndo MashaLove alo kalia chupa akapasua
We yule dada anayecheza kati mnamjua?
Ndo Wanjala alo kalia chupa akapasua
[Verse 11]
Basi twende msimshike jamani ana shot ua umeme
Na kibaridi kwa mbali muacheni ateteme
Msimshike ajibu ana shot ya umeme
Na kibaridi demla mwacheni ateteme
[Verse 12]
Kati mwacheni ateteme
Ajibu ateteme
Basi mwacheni ateteme
Shabalala ateteme
Written by: Khalid Mwalami Mtumbuka