Lyrics

Oh mama wee (Oh mama wee), Oh mama wee (Oh mama wee), Oh mama wee (Oh mama wee), oh mama wee nenga-nenga (Oh mama wee)
Sema mi hata dingi simjui (Billnass), ndo maana stori za dingi hazinisumbui (Billnass, billnass)
Nasema nyie huwaga hamkui (Oh mama wee), ndo maana hata nguo za ndani hamnunui (Oh mama wee)
Wanaroll na mandinga za baba, kushiba kwa mama, ndinga za baba eeh
Wanaroll na mandinga za baba, kushiba kwa mama, ndinga za baba eeh
I like eea (Oh mama wee) I like oh nanana
I like eea (Oh mama wee) I like oh nanana
I like eea (Oh mama wee) I like oh nanana
I like eea (Oh mama wee) I like oh nanananaa
We smoke buff and liquor, wanasema tumechizika
Mezani another liquor, I wanna ride with my mama cita
Gambe na kadharika, mezani another ciggarete
I spend more than other ****, kwani, kwani tunavunja sheria it's like, nani nani anaetupangia its like (Eeh)
Tagi ubavu (Ta, ta, ta) tagi ubavu (Eeh) Tagi ubavu (Ta, ta, ta) tagi ubavu
Wanaroll na mandinga za baba, kushiba kwa mama, ndinga za baba (Tagi ubavu)
Wanaroll na mandinga za baba, kushiba kwa mama, ndinga za baba (Tagi ubavu)
I like ea (Oh mama wee) I like oh nanana
I like ea (Oh mama wee) I like oh nananananana
I like ea (Oh mama wee) I like oh nanana
I like ea (Oh mama wee) I like oh nanananana
Me huwaka kwenye gear, nikishawaka masela nakanyagia
Tena me huwaka na rupia, nikishawaka mademu nakanya pia
Tena me huwaka, me huwaka, me huwaka (Touch-touch)
By the way hamnishtushi mkiwaka, by the way hamnishtushi mkiwaka
By the way hamnishtushi mkinata, by the way hamnishtushi mkirap now
(Na by the way) mwambie dadako anachorekaa (Na by the way), anavyo deal na wanangu anajichoresha
(Na by the way) waambie wenzako mnachoreka (Na by the way) mnavyopita njia zangu mnajichoresha
Me wala sina chuki nanyi, labda nyie wana (Ta-ta-ta-ta tagi ubavu)
Me wala sina chuki nanyi, labda nyie wana (Ta-ta-ta-ta tagi ubavu)
Wanaroll na mandinga za baba, kushiba kwa mama, ndinga za baba (Tagi ubavu)
Wanaroll na mandinga za baba, kushiba kwa mama, ndinga za baba (Tagi ubavu)
I like eea (Oh mama wee) I like oh nanana, I like eea (Oh mama wee) I like oh nanananana
I like eea (Oh mama wee) I like oh nanana, I like eea (Oh mama wee) I like oh nanananana
Me wala sina chuki nanyi, labda nyie wana (Ta-ta-ta-ta tagi ubavu)
Ta-ta-ta-ta Tagi ubavu), iyee Ta-ta-ta-ta tagi ubavu
(Ta-ta-ta-ta tagi ubavu), alright, alright, alright, alright, alright, alright, (Tag ubavu)
Written by: William Nicholas Lyimo
instagramSharePathic_arrow_out