Lyrics

[Chorus]
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Ndiwee) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Nakupenda sana) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Peke yako) Ndiwe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Nakupenda sana) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Nakupenda sana) Ndiwe wewe Mungu wangu
Ndiwe wewe Mungu wangu
[Verse 1]
Najua iko miungu mingi, tena ina sina nyingi
Abuduo sanamu hawanishii
Wengine mna mali nyingi
Tatizo mashariti mengi
Ila kwa Mungu wangu yani ni amani
[Verse 2]
Niwapo mnyonge ananitia nguvu huyu
Niwapo udhaifu
Niwapo mnyonge ananitia nguvu huyu
Niwapo udhaifu
Atii nataka na kumwaga machozi ya furaha
Nikitazama zaidi yako hakuna nabaki nikilia huku nashukuru niwe we
[Chorus]
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Ndiwee) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Nakupenda sana) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Peke yako) Ndiwe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Nakupenda sana) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Nakupenda sana) Ndiwe wewe Mungu wangu
Ndiwe wewe Mungu wangu
[Verse 3]
Usipo enda na mimi
Nitauwawa kule fanyika mwamba
Mtulizi wa maisha yangu eh
Nimeumbwa na wewe umwnipa akili
Nimeumbwa na wewe pumzi ya uhai wako bure
Ajali nyingi tumezika wengi jamani
Magonjwa mengi walikufa wengi si haba
Ila umenilinda ona umenitunza
Ila ulinilinda nakupenda bure-bure
Ila umenilinda ila ulinitunza
Ila ulinilinda nakupenda bure-bure
[PreChorus]
Ah bure-bure (Ah bure-bure)
Ah bure-bure (Ah bure-bure)
Ah bure-bure (Ah bure-bure)
Ah bure-bure (Ah bure-bure)
Ah bure-bure (Ah bure-bure)
Ah bure-bure (Ah bure-bure)
Ah bure-bure (Ah bure-bure)
Ah bure-bure (Ah bure-bure)
[Chorus]
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Ndiwee) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Nakupenda sana) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Peke yako) Ndiwe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Nakupenda sana) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Ndiwe eh-eh) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Mungu wamajeshi) Ndiwe wewe Mungu wangu
(Alfa na omega) Ndiwe wewe Mungu wangu
Written by: Goodluck Gozbert, Goodluck Gozbert Wiki
instagramSharePathic_arrow_out