Lyrics

[Verse 1]
Mafan wanaiaka some new ish
Mamaa anataka a new whip
Babaa anatafuta school fees
Hananga patience ya bullshit
[Verse 2]
Uh nakuwanga hood rich
Jaba inaletwa na toothpick
Pull up wanashangaa who's this?
Pull up wanashangaa who's this? (Shin chilla)
[Verse 3]
Dogi mzee hazina new tricks
Wanaishanga wakifeel sweet
S'wataji kama the shoe fits
S'wahitaji sana vile nyi huwish
[Verse 4]
Sanaa imejaa na cool kids
Gava inafaa na ma youth please
Ambia hawa mafala the truth is
Song zao nazipeanga 2 weeks
[Verse 5]
Mang'aa amesmana kwa pulpit
Anapractice kile you preach
Mind yangu inakuwanga too quick
Lines zangu zinakuwanga too sick
[Verse 6]
Maflow unaonanga vile mi huswitch
Mi pekee ndio rapper nyi humiss
Hakuna level sijai reach
Hakuna dranya ako too thick
[Chorus]
Wah! God bless
Tangu nishike cordless
Marapper wengi wako jobless
Hii game nikaa mocha ni heartless
[Chorus]
Uh! Industry ni selfish
Aim ya kila mtu ni get rich
So na aim-ia kila si make peace
Na ata kaa ntaforgive si forget shit
[Verse 7]
Hivi ndio inakaa saa ile ubahatishi
Unaona gwiji so far cheki naifanya fiti
Unapenda mziki na hata hulazimishwi
Na mapost mingi mingi
[Verse 8]
Bila stunts na makiki narun jiji
Inasound fiti
I am simply
One of one
[Verse 9]
Hivi ndio inakaa saa ile ubahatishi
Unaona gwiji so far cheki naifanya fiti
Unapenda mziki na hata hulazimishwi
Na mapost mingi mingi
[Verse 10]
Bila stunts na makiki narun jiji
Na sound fiti
I am simply
One of one
[Verse 11]
Ni so fulfilling
Silipwi na promises ama exposure
Hapana ni dollar au shilling
Utaamini blogger au mimi
[Verse 12]
To be frank lakini
Career yako ilidie ikazikwa unangoja niargue na mzoga au nini?
Unanfuata sana umerogwa nini?
[Verse 13]
Mi sio kaa nyinyi hakuna msanii hupiga show kaa mimi
Heh gari ya loan kutuonesha ati vile unashika doh siamini
Baada ya miaka kadhaa unadai kuchangiwa, wah
Juu ya okada ju ya vile umeharibu maziwa, wah
[Verse 14]
Situation yangu ni win-win
Aisee digaga na bling-bling
Friday kidagaa na sim-sim
Man siezi lala nalive dream
[Verse 15]
Kitu hamwezi fake ni energy
Sitolerate fake energy
Arif atabaki arif
Enemy atabaki enemy
[Verse 16]
Niko la vila nakula pasta na wife najua watu ni magangsta for life
Stamps zimejaa kwa passport ya mine
Kumbuka ni business class nikifly
[Verse 17]
Business yangu usiingilie
Usha warn-iwa saa usinitry
For peace of mind sijidrive
Crib ya mine si ni vibes
[Verse 18]
Umefanya nini in life
Ndo uweze kunipa advise
Tuambie unajua nini besides
Ku criticize, criticize?
[Verse 19]
Nimefanya vitu hukuwa unajua zinaeza fanyika
Keep it 1hunna
So ata hizo vitu nakuona uko busy ukiandika hazina maana
Mahater si wanang'ang'ana
Mamoves mi namake wanaziona
Umengoja niheme ukahema
Nlikushow mi ni marathon runner
[Verse 20]
Nafanya unakaa fala kupredict
Downfall ya mine
Mmebonga sana na nimewaskia saa nawachapa one at a time
Written by: Nyamari Ongegu
instagramSharePathic_arrow_out