Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Malaika Tz
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Diana Exavery Clavery
Songwriter
Lyrics
[Intro]
Niache nifanye kusudi
Ikibidi nifanye kufuru
Wanitangaze hata sana
[Verse 1]
Kwani mi ninavyompenda mwingine hakuna
Kanifunga gamba cha chini cha sunna
Kaniganda ganda baridi hakuna
Mtundu wa kitanda ah
Na lake jaramba ah
[Refrain]
Mi nasema simwachi
Nakaba mpaka penati
Kwa utamu wa nanasi
Naufyonza mpaka basi
[Refrain]
Mi nasema simwachi
Nakaba mpaka penati
Kwa utamu wa nanasi
Naufyonza mpaka basi
[PreChorus]
Acha kusema waseme wala sijali
Haya yake masebene mie sichezi mbali
[Chorus]
Nawararua-rarua, nawararua
Nawararua-rarua, nawararua
Nawararua-rarua, nawararua
Nawararua, rarua, rarua-rarua
[Verse 2]
Nimelamba utamu wa peremende
Kanifunga kabisa na kwao twende
Akanipe vya pwani; harua tende
Kweli nimesema simwachi
Nakaba mpaka penati
[Verse 3]
Nitabeba hata pochi
Nitalipie na cash
Ninasifiwa kupetipeti sijasifiwa kuvaa
Mi napuliza japo kuna net penzi lizidi kung'aa
[Verse 4]
Na siwezi ya walimwengu maneno
Naficha penzi wanang'ata bila meno
[Chorus]
Nawararua-rarua, nawararua
Nawararua-rarua, nawararua
Nawararua-rarua, nawararua
Nawararua, rarua, rarua-rarua
[Refrain]
Mi nasema simwachi
Nakaba mpaka penati
Kwa utamu wa nanasi
Naufyonza mpaka basi
Mi nasema simwachi
Nakaba mpaka penati
Kwa utamu wa nanasi
Naufyonza mpaka basi
[PreChorus]
Acha kusema waseme wala sijali
Haya yake masebene mie sichezi mbali
[Chorus]
Nawararua-rarua, nawararua
Nawararua-rarua, nawararua
Nawararua-rarua, nawararua
Nawararua, rarua, rarua-rarua
Written by: Diana Exavery Clavery