Lyrics

Alright den 
Siwanapenda kubeng 
Ni bughaaaaaaaaa
(Ohh my God, Bomba made my beat) 
Kumanisha nini.?
Miruzi mingi ila Mbwa hapotei 
Alivofunga ananipandisha 
Alivyoseti ka kuku wa kuchoma 
Bad man me natandika 
(Skia kitu kama radi radi radi 
She yah call me pappi pappi papiiii)
Namkuliia njuguu ndege mnana 
Beby shika maukuta ukiinama 
Bughaa Toto Mali safi apana bishana 
Tunapigana usiku mpaka mchana 
Nasomaga zote dm dm dm dm za madem na mashem shem shem
Usinichoche nipe game game game game
I got the money and fame fame fame fame
(Serikali ikisema 
utatoa utatoa utatoa utatoa utatoa utatoaaaaa
Sheria ikisema
utatoa utatoa utatoa utatoa utatoa utatoaaaa)
(Twaah Mabantu)  
Siwanapenda kubeng` 
Kannnne 
Nitakunywa ukitaka kumwaga maji 
Kwa bed Leo ni mimi na wewe sio mimi mars
mindo mafuta kiboko ya nazi a.k.a nzii ugonjwa wangu mavii
yoo njo nikufunze kuikoki pisto
alafu njo nikufunze kuikaza kiko
yanini pua nataka jicho kizi mkazi Na apa ipoo!!!! 
(Muuh Mabantu)
Hee yoo 
Whats good Tatiana
kitambi hilo komwe utawezana
anataka bando chati hana
akivua blauzi shatiii hanaaaa
ile utelezii pruu mpaka makaa
mtoto bodi nane joni mataa
yes nakula vyote bila shaka
kwa bed ni Mwendo wa vipara kaa lamata
(Serikali ikisema 
utatoa utatoa utatoa utatoa utatoa utatoaaaaa
Sheria ikisema
utatoa utatoa utatoa utatoa utatoa utatoaaaa) x2
Outro
Vaibu zo zifunye kazinyoke 
Mumpale na bugumye paka mu socket 
kumyigo tompoona ninga Bataliban kugan.
Bwe nkugamba obigana nayee
Written by: stephen karuga kimani
instagramSharePathic_arrow_out