Top Songs By Maandy
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Maandy
Performer
Mejja
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Mitchelle Wambui
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Ricco Beatz
Producer
Lyrics
[PreChorus]
Unadhani ni wako sio wako
Ala! Unajam na mambo bado
Naiseti fiti anaihandle
Tukimaliza rudi kwako
[Chorus]
Sio wako, ni wetu
Sio wako, ni wetu
Sio wako, ni wetu
Sio wako, ni wetu
[Verse 1]
Jaber (Eeh) kairetu (Aah)
Kwa Mpasho (Ah), Jicho pevu (Aah)
Ulisorora simu ndo ujam tu (Jam)
Na ukizubaa atapanda mbegu
[Verse 2]
Aliacha slay juu ya kienyeji
Amber Ray hii kitu ni ya wengi
Yako ni ugali anataka keki
Wacha kujistress hakuna mapenzi
[Verse 3]
Hukuwai ambiwa plenty fish in the sea
Hii game ni ya wanjanja we cheza left wing
Through pass hadi mtu hungewaidhani
Ogopa mwenye atapea hadi wochi
[PreChorus]
Unadhani ni wako sio wako
Ala! Unajam na mambo bado
Naiseti fiti anaihandle
Tukimaliza rudi kwako
[Chorus]
Sio wako,ni wetu
Sio wako, ni wetu
Sio wako,ni wetu
Sio wako,ni wetu (Okwonkwo)
[Verse 4]
Ni wako akiwa kwako
Akitoka nje ni wetu
Nikuuulize ndio akuje kwako
Alikuwa wapi si alikuwa kwetu
[Verse 5]
Buda boss acha kubonda
Mimi na wewe ni shareholders
Asanti ulimbuyia nguo
Alikuja ameing'ara
[Verse 6]
Nilimnyandua na hio nguo
Ile nguo ulimnunulia
Najua inauma is called sharing
Kanairo sharing is caring
[Verse 7]
Kama umecatch we move on
Me am the shoulder to lean on
Ukifanya alie ye hukuja kwangu
Nambembeleza tunaenda kwangu
[PreChorus]
Unadhani ni wako sio wako
Ala! Unajam na mambo bado
Naiseti fiti anaihandle
Tukimaliza rudi kwako
[Chorus]
Sio wako, ni wetu
Sio wako, ni wetu
Sio wako, ni wetu
Sio wako, ni wetu
Unadhani ni wako sio wako (Sio wako)
[Verse 8]
Ala! Unajam na mambo bado
Naiseti fiti anaihandle
Tukimaliza arudi kwako
Sio wako, ni wetu
Sio wako, ni wetu
Sio wako, ni wetu
Sio wako, ni wetu
[Outro]
Hii kanairo we relax tu
Piga mboka alafu
Usipate stress we mwanangu
Lakini sio wako, ni wetu
Written by: Mitchelle Wambui