Music Video

Parroty - Lewa Ft Kabagazi X OneBoy X Mejja (Official Video)
Watch Parroty - Lewa Ft  Kabagazi X OneBoy X Mejja  (Official Video) on YouTube

Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Parroty
Parroty
Performer
Mejja
Mejja
Performer
Kabagazi
Kabagazi
Performer
Oneboy
Oneboy
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Parroty
Parroty
Songwriter

Lyrics

Leo niko out nimekuja kutesa
Kesho siko job ni kulala fofofo
Waiter leta drinks tunakunywa kumaliza
Usituone hivi-hivi tumekuja na pesa
Pewa, lewa
Pewa, lewa
Pewa, lewa
Pewa, lewa
Ati leo niko na mbogi hatari
Tena hatari niko na hadi na gari
Kabagazi aka ganji
Sina kinywaji waiter mtiaji
Ah kidogo tu, kidogo tu, kidogo tu
Waitress amebeba tippin
Is it me or my drink is speaking
Sipping, sipping am sipping
Aiyaya, vunulu
Peremende pombe yangu usiweke mchele
Leo nameza hata kama ni tembe
Ndio nilewe mpaka nibebwe
Leo niko out nimekuja kutesa
Kesho siko job ni kulala fofofo
Waiter leta drinks tunakunywa kumaliza
Usituone hivi hivi tumekuja na pesa
Pewa, lewa
Pewa, lewa
Pewa, lewa
Pewa, lewa
Leo lazima nipatikane (Okay)
Na ka Tusker ama cane
Pewa chupa usilambe lambe
Wapi chaser iko pande gani?
Ng'ang'o, Whiskey, hanjam-hanjam mingi
Mi nataka jo niteke toto
Na msupa tulewe hadi kesho
Shorts kamino, booti, voodoo
Chapa toto ukimaliza keiyo
Leo niko out nimekuja kutesa
Kesho siko job ni kulala fofofo
Waiter leta drinks tunakunywa kumaliza
Usituone hivi hivi tumekuja na pesa
Pewa, lewa
Pewa, lewa
Pewa, lewa
Pewa, lewa
Sunguchula, amabekaa amabekaa
Kibakuli fiti titi
Sishindi mwana, oshi sindi
Aiyayaya amalwa amalwa
Mmh mchunge dem wako bana
Naeza mchapa hadi kesho mchana
Kako tipsy bado nakaongeza shada
Mi nipe Whiskey Dj cheza tu mabanger
Peremende pombe yangu usiweke mchele
Leo nameza hata kama ni tembe
Ndio nilewe mpaka nibebwe
Leo niko out nimekuja kutesa
Kesho siko job ni kulala fofofo
Waiter leta drinks tunakunywa kumaliza
Usituone hivi hivi tumekuja na pesa
Pewa, lewa
Pewa, lewa
Pewa, lewa
Pewa, lewa
Written by: Parroty
instagramSharePathic_arrow_out