Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Jux
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Juma Mussa Mkambala
Songwriter
Foxx
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Foxx
Producer
Lyrics
Hauna furaha
Haifichi sura yako
Najua una mpenzi unampenda ila moyo wako haupo hapo
Unapata karaha
Unatunza utu wako,mmmh
Labda unajiuliza kwanini naitaji namba yako
Ila sio lazima nikipiga simu upokee
Sio lazima message zangu majibu yarejee
Nasema sio lazima mi na we tukae tuongee
Ila ukipata mda maji yakizidi Unga nipigie
Ili mradi unajua,aiyeee aaiye aiyeee×4
As long as you know×2
Wanasema joto likizidi unapoza na maji
Ila changamoto zinapozidi unakosa Amani
Kuna mda uu mpweke hujiwezi,unachukia na mapenzi
Kwanini ufe na kitanzi wakati mimi nipo na ipo wazi
Sio lazima nikipiga simu upokee
Sio lazima message zangu majibu yarejee
Nasema sio lazima MI na we tukae tuongee
Ila ukipata mda maji yakizidi unaga nipigie
Ili mradi unajua,Aiyeee aah aiyee×4
As long as you know×3
Usikose Amana
Mama usijitese
Mumy mumy mumy
Faraja yako ipo
Mumy usikose
Writer(s): Juma Mkambala
Lyrics powered by www.musixmatch.com