Lyrics

[Verse 1]
Diana nah (Diana)
Diana nah nah (Diana)
Diana nah (Diana)
Diana
[Verse 2]
Oya mang'u ngenje, ikule mayari yalikulota
Baby romantic, siwezi waza nikikupoteza
Subiria, subiria nikisubiri mpenzi
Si nilikupa mapenzi, narudia baby
Ukinitoka baby itauma nami nitakonda yeah
Coz nobody compared to my woman
[Chorus]
Ulivyo mzuri kama doli (Diana)
Roho yangu taabani (Diana)
Toka zamani (Diana)
Bado ni wewe natamani (Diana)
[Chorus]
Hapa mwenzenu nimelove (Diana)
Nitakupeleka kwa mama (Diana)
Sina ujanja nakupenda (Diana)
Vikudurume simu vensha (Diana)
[Verse 3]
Na mbona tunagombana
Nabishana pigana (That is not for me)
Niwe napenda nataka na sina mwingine ma (That is all for me)
Nabody else that deserves you
Wanajua we ni wangu
I'm gonna marry you one day
[Verse 4]
Hemees nevande baby pachea no
But our song is on repeat, saying I love you darling
Donge misi yaamivi, still I will love you baby
Ukinitoka baby itaniuma na mi nitakonda
Coz nobody compared to my woman
[Chorus]
Ukiuliza majirani (Diana)
Aki ni wewe natamani (Diana)
Na ukisema sifai (Diana)
Aki sina amani (Diana)
Hapa mwenzenu nimelove (Diana)
Nitakupeleka kwa mama (Diana)
Sina ujanja nakupenda (Diana)
Vikudurume simu vensha (Diana)
[Chorus]
Ni Bahati tena (Diana)
Na Bruce Melody (Diana)
Rwanda to Kenya (Diana)
Tuwape melody (Diana)
[Verse 5]
Oya mang'u ngenje, ikule mayari yalikulota
Diana nah nah (Diana)
Diana nah (Diana)
[Chorus]
Ulivyo mzuri kama doli (Diana)
Roho yangu taabani (Diana)
Toka zamani (Diana)
Bado ni wewe natamani (Diana)
Hapa mwenzenu nimelove (Diana)
Nitakupeleka kwa mama (Diana)
Sina ujanja nakupenda (Diana)
Vikudurume simu vensha (Diana)
[Chorus]
Hapa mwenzenu nimelove (Diana)
Nitakupeleka kwa mama (Diana)
Sina ujanja nakupenda (Diana)
Vikudurume simu vensha (Diana)
Written by: Itahiwacu Bruce, Kevin Bahati Kioko
instagramSharePathic_arrow_out