Lyrics

[Verse 1]
Asubuhi tu kukicha
Mi nazianza pilika
Mchana kutwa kutafuta
Nikutunze langu ua
[Verse 2]
Na uzuri ulonao
Nakuacha nyumbani peke yako
Roho inaniuma mwenzio
Natamani nishinde kando yako
[Verse 3]
Na uzuri ulonao
Nakuacha nyumbani peke yako
Roho inaniuma mwenzio
Natamani nishinde pembeni yako
[Refrain]
Mi napata homa (Jioni na watu ukisimama, mh)
Na roho inaniuma (Sokoni kurudi umechelewa)
Mi napata homa (Jioni na watu ukisimama, mh)
Na roho inaniuma (Sokoni kurudi umechelewa)
[Chorus]
Samboira kuruse
Sumu kanee viu ya kutali
Jichunge mama
Katu sitopenda nikukose mpenzi we
[Chorus]
Samboira kuruse
Sumu kane viu ya kutali
Jichunge mama
Katu sitopenda nikukose mpenzi we
[Verse 4]
Ulishajua mi nakujali sana
Ndo maana moyo wangu unaniuma
Nakuomba kipenzi chunga sana
Maana wapo wasopenda kutuona
[Verse 5]
Ulishajua mi nakujali sana
Maana moyo wangu unaniuma
Nakuomba kipenzi chunga sana
Maana wapo wasopenda kutuona
[Verse 6]
Wakijipitisha kutwa kucha
Uwaambie kwangu umeshafika
Usidanganyike na zao pesa
Pamba na magari ni vya kupita
[Verse 7]
Wakijipitisha kutwa kucha
Uwaambie kwangu umeshafika
Usidanganyike na zao pesa
Pamba na magari ni vya kupita
[Chorus]
Samboira kuruse
Sumu kane viu ya kutali
Jichunge mama
Katu sitopenda nikukose mpenzi we
[Chorus]
Samboira kuruse
Sumu kane viu ya kutali
Jichunge mama
Katu sitopenda nikukose mpenzi we
[Chorus]
Samboira kuruse
Sumu kane viu ya kutali
Jichunge mama
Katu sitopenda nikukose mpenzi we
[Chorus]
Samboira kuruse
Sumu kane viu ya kutali
Jichunge mama
Katu sitopenda nikukose mpenzi we
Written by: Benard Paul
instagramSharePathic_arrow_out