Lyrics

Introo Hello my Nimekumiss Sana Nakusabahi Ona nilikuona hufai Nimepigwa na kitu kizito kichwani Mhh Mi Mvumilivu usinitupe Basi ivyo japo mi unikumbuke Hata namba ushasema nifute Usifanye ivyo utafanya niumbuke Yaniii Sawa nilikukosea sana na mi ndo chanzo Mpaka kugombana aaah Mbona mi nilikucheat sana Ulivumilia vingi sana Na bado Mi nilizidisha kukupiga aaah Mateso kwako ikawa kawaida Ah Mi nilikosa huruma nikawa kama mnyama Ona Mi Nimekukumbuka Aaaaah Aaaah I miss You Aaaah Aaah I Miss You Aaaah I miss you Aaah I miss You Lako penzi lanitesa Sana Nimekukumbuka Yani mwisho jana Unajua mapenzi kinyama nyama Iyo ndo sababu kwako Nang'ang'ana Nimejaribu sana kukufuta Kwenye moyo wangu Na bado Nakukumbuka Nimekiri makosa na nimejuta Au unasubiri mpaka mi nije kufa Kila nikifikiria ayaayaaa Machozi yanitiririka Vibaya Nilokufanyia mabaya Nilikufanyia vingi nilikuona Sio kama sikupendi Nilikuchoresha Nilifanya visa vingi vingine We hupendi Nikajichekeshaaa aaahaaaa Asa roho ndo inauma Nikikutana nawe ukiuchuna Mwenzako moyo Unaniuma Nami binaadamu nahitaji msamaha Sawa nilikukosea sana na mi ndo chanzo Mpaka kugombana aaah Mbona mi nilikucheat sana Ulivumilia vingi sana Na bado Mi nilizidisha kukupiga aaah Mateso kwako ikawa kawaida Ah Mi nilikosa huruma nikawa kama mnyama Ona Mi Nimekukumbuka Aaaaah Aaaah I miss You Nimekukumbuka sana yani mwisho jana Nimukukumbuka weee Aaaah Aaah I Miss You Najiona nanuka dhambi kwa yale nilofanya kwako Aaaah I miss you Mi bado nakuhitaji ni muhimu Uwepo Wako Aaah I miss you Najiona nanuka dhambi Yani mwisho jana nimekukumbuka we
Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out