Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
TRESOR
TRESOR
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Mukengerwa Tresor Riziki
Mukengerwa Tresor Riziki
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Hubert Batundi
Hubert Batundi
Producer
Mukengerwa Tresor Riziki
Mukengerwa Tresor Riziki
Producer

Lyrics

[Verse 1]
Eeh Yolele Mama Eh
Eeh Yolele Mama Eh
[Verse 2]
Sema basi nasikia
Mpenzi wangu shida gani
Sema basi nasikiya
Oh nana, oh nana
[Verse 3]
Nshike mkono mpenzi wangu
Mimi nawe mpaka milele
Zungoeye basi tucheze
Oh nana, oh nana
[Verse 4]
Mungu anajuwa unanipa furaha
Mungu anajuwa moyo yangu ni yako
Mungu anajuwa unanipa furaha
Mungu anajuwa moyo yangu ni yako
[Verse 5]
Mpaka milele
Mpaka milele
Oh nana
Mpaka milele
Mpaka milele
Ona, ona, ona
[Verse 6]
Mpaka milele
Oh nana
[Verse 7]
Usijali na dunia
Mambo yote itapita
Unanipa maisha
Oh nana, oh nana
[Verse 8]
Nshike mkono mpenzi wangu
Mimi nawe mpaka milele
Zongoeye basi tucheze
Oh nana, oh nana
[Verse 9]
Mungu anajuwa unanipa furaha
Mungu anajuwa moyo yangu ni yako
Mungu anajuwa unanipa furaha
Mungu anajuwa moyo yangu ni yako
[Verse 10]
Mpaka milele
Mpaka milele
Oh nana
Mpaka milele
Mpaka milele
Ona, ona, ona
[Verse 11]
Mpaka milele
Oh nana
Mpaka milele
Mpaka milele
Ona, ona, ona
[Verse 12]
Eeh Yolele Mama Eh
Eeh Yolele Mama Eh
[Verse 13]
Milele, Milele
Milele, Milele
Milele, Milele
Milele, Milele
[Verse 14]
Mungu anajuwa unanipa furaha
Mungu anajuwa moyo yangu ni yako
Mungu anajuwa unanipa furaha
Mungu anajuwa moyo yangu ni yako
Written by: Mukengerwa Tresor Riziki
instagramSharePathic_arrow_out