Music Video

Beka Flavour - Kibenten (Official Video)
Watch Beka Flavour - Kibenten (Official Video) on YouTube

Featured In

Credits

PERFORMING ARTISTS
Beka Flavour
Beka Flavour
Performer
Bakari Abdu
Bakari Abdu
Lead Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Beka Flavour
Beka Flavour
Songwriter
Bakari Katuti
Bakari Katuti
Songwriter
Bakari Abdu
Bakari Abdu
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Maximizer
Maximizer
Producer

Lyrics

Mafia
Kibenten
Maximizo
Kibenten
Utafute wewe nije kula mimi
Maumivu nayajua, nilishang'atwa na nyoka far away
Nikiona jani naugua, nahisi yatanirudia yale
Sina koti kwenye mvua, ikinyesha acha tu nilowe
Nahisi utakuja kunisumbua, 'cause mi sifanani na wewe
Kuuziwa mapenzi sitaki, acha tu nitafute mwenyewe
Nikipata nkikosa sawa, sitaki mi kulelewa na wewe
Umenipita vitu vingi sana, hata uhuni sifanani na wewe
Niliye nae ataumia sana, kama mali zako kula mwenyewe
Unajibalaguza balaguza ile kwa sana
Unaniwinda kila chocho kila kona
Vizawadi zawadi kwangu havina maana
Noo
Unajibalaguza balaguza ile kwa sana
Unaniwinda kila chocho kila kona
Vizawadi zawadi kwangu havina maana
Noo, noo
Kibenten, sijazoea kufungiwa ndani
Kibenten, utafute wewe nije kula mimi
Kibenten, sijazoea kufungiwa ndani
Kibenten, ninunuliwe mpaka nguo ya ndani
Ooh ooh eeh aaah
Kuna maradhi yaja kwa tamaa, yah ukiendekeza
Nimsalititi mpenzi ninaempenda, kisa tamaa ya fedha
Ni usia zamani mama alinidokeza
Ganda la ndizi baya nikilikanyaga, naweza nikateleza
Chunga wasiwasi ndo akili, mabaya yalipitia mbali
Najua kuna guest na jela, yasijenitokea puani
Malipo kutafuna pilipili, itakuwasha kinywani
Nakinga upepo kibatari, sitaki kuishi kizani
Unajibalaguza balaguza ile kwa sana
Unaniwinda kila chocho kila kona
Vizawadi zawadi kwangu havina maana
Noo
Unajibalaguza balaguza ile kwa sana
Unaniwinda kila chocho kila kona
Vizawadi zawadi kwangu havina maana
Noo, noo
Kibenten, sijazoea kufungiwa ndani
Kibenten, utafute wewe nije kula mimi
Kibenten, sijazoea kufungiwa ndani (siwezi kuwa)
Kibenten, ninunuliwe mpaka nguo ya ndani
Hii ih, siwezi
Kutulia niletewe na sugar mamy, nguvu ninazo
Huuuh siwezi
Oooh huuuh
Maximizo
Written by: Bakari Abdu, Bakari Katuti
instagramSharePathic_arrow_out