Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Whozu
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Oscar lelo
Composer
Lyrics
[Verse 1]
Zombie, zombie, zombie zombie utatuua
Alitaka kunichukulia poa
Kumbe mi mwenyewe ni mtoto wa town
Mara ooh nakupenda ntakuoa
Ushaniona boya kutwa kunipiga sound
[PreChorus]
Alitaka kunichukulia poa
Kumbe mi mwenyewe ni mtoto wa town
Mara ooh nakupenda ntakuoa
Ushaniona boya kutwa kunipiga sound
[Chorus]
Parara paparira, paparira, paparira papa
Perepeperire pepe rire pepe rire, pepe
Ameyatimba
Aah ameyatimba
Ooh ameyatimba
Aah ameyatimba
Ooh ameyatimba
[Verse 2]
Mtoto kavamia pombe kakutana na gang
Mtoto kadhania Konde (Konde)
Mtoto kadandia tonge yupo danger days
Mi napambania kombe (Kombe)
Mtoto fakamia yote
Anavyochochea moto tukalipuke wote
Mtoto kaniambia chonde
Kakutana na beki nachapa miguu yote
[PreChorus]
Alitaka kunichukulia poa
Kumbe mi mwenyewe ni mtoto wa town
Mara ooh nakupenda ntakuoa
Ushaniona boya kutwa kunipiga sound
Alitaka kunichukulia poa
Kumbe mi mwenyewe ni mtoto wa town
Mara ooh nakupenda ntakuoa
Ushaniona boya kutwa kunipiga sound
[Chorus]
Parara paparira, paparira, paparira papa
Perepeperire pepe rire pepe rire, pepe
Ameyatimba
Aah ameyatimba
Ooh ameyatimba
Aah ameyatimba
Ooh ameyatimba
[Outro]
Kweli naapa najuta kuwa na yeye
Tatizo muongo muongo ukimwona ka so yeye
Kajichanganya ameyataka mwenyewe
Tatizo muongo muongo ukimwona ka so yeye
Written by: Oscar lelo, Salmin Kasimu Maengo, William Nicholaus Lyimo