Top Songs By Tommy Flavour
Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Marioo
Vocals
Tommy Flavour
Performer
Lyrics
Eh
He-he, mm, bad (bad)
Mm-hmm
Oye (sounds by Abba) shee
Nakuja, baby nakuja
Allow me, baby nakuja
Nakuja, baby nakuja
Allow me, allow me, baby nakuja
Kama ajali, mie kwako nyang'anyang'a
Uhodari utafanya nilie, wakininyang'anya
Nakuja, baby nakuja
Allow me, baby nakuja
Nakuja, baby nakuja
Allow me, allow me, baby nakuja
Nikamate, nikamate
Nikamatie, nikamatie, usinibwage
Baby, let me be romantic
Hatujali, we don't mind them
Mmh, navuta picha ulivyo teacher
Mambo joro joro
Mama Bonita
Murembo mororo
Nakuja, baby nakuja, ah
Allow me, baby nakuja
Nakuja, baby nakuja
Allow me, allow me, baby nakuja, eh
Kama ajali, mie kwako nyang'anyang'a
Uhodari utafanya nilie, wakininyang'anya
Nakuja, baby nakuja
Allow me, baby nakuja
Nakuja, baby nakuja (mm)
Allow me, allow me, baby nakuja
Oh baby, njoo, njoo, njoo (closer)
U-whoa, whoa, oh
Oh baby, come, come, come (closer)
U-whoa, whoa, oh
Kwani umeumbwa kwa udongo ama, ah
Umefinyangwa kama dongo
Baby, kwani umenipiga zongo wa-allah, uh (shee)
Nakuja, baby nakuja
Allow me, baby nakuja
Nakuja, baby nakuja
Allow me, allow me, baby nakuja
Kama ajali, mie kwako nyang'anyang'a
Uhodari utafanya nilie, wakininyang'anya
Nakuja, baby nakuja, ah
Allow me, baby nakuja
Nakuja, baby nakuja
Allow me, allow me, baby nakuja, eh
(Kama ajali, mie kwako nyang'anyang'a)
(Uhodari utafanya nilie, wakininyang'anya)
Writer(s): Tommy Flavour, Marioo Marioo
Lyrics powered by www.musixmatch.com